Matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya


  1. Muungano wa upinzani Nasa umepinga matokeo yanayotangaza na kusema IEBC imekuwa ikitangaza matokeo bila kutoa fomu 34A
  2. Kumekuwa wagombea urais wanane, lakini ushindani mkubwa ulikuwa kati ya Rais Kenyatta na Bw Raila Odinga
  3. Matokeo yaliyotolewa kufikia sasa yanaonyesha Bw Kenyatta ana kura 7m naye Bw Odinga kura 5.6m.
  4. Bw Odinga anawania urais kwa mara ya nne.
  5. Kulikuwa na jumla ya vituo 40,883 vya kupigia kura kote nchini
  6. Katika matokeo ya vituo 36659 kati ya 40883:
    • Uhuru Kenyatta wa Jubilee ana kura 7,461,933 (54.64%)
    • Raila Odinga wa ODM ana kura 6,079,136 (44.51%)
    Kura zilizoharibika kufikia sasa ni 353,389.

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal