Image caption Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa ameanza harakati za kutaka kusaini kandarasi mpya na Aaron Ramsey na Danny Welbeck Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa ameanza harakati za kutaka kusaini kandarasi mpya na Aaron Ramsey na Danny Welbeck akiongezea kuwa anatarajia wachezaji wengine kukamilisha kandarasi zao. Kandarasi za wawili hao zinakamilika 2019.(Guardian) Real Madrid wanamchunguza mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane kwa lengo la kumsajili via Daily Express) Image caption Real Madrid wanamchunguza mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane kwa lengo la kumsajili via Daily Express) Chelsea inaongoza Liverpool, Tottenham, Southampton, Manchester City na Manchester United katika kumsaka kinda Elye Wahi, 14, ambaye tayari ameanza kuifungia klabu ya Caen ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 na anatoka katika mtaa wa Courcouronnes, makaazi ya Paris ambayo kiungo wa kati wa Chelsea N'Golo Kante anatoka. (Sun) Arsenal wana mpango wa ku...