vijue vivutio vya mkoa wa iringa



vyura waajabu wanaopatikana kwenye bwawa la mtera iringa.






fuvu la mkwawa lililopo mkoani iringa katika sehemu moja ya kihistoria iitwayo KARENGA.






pia kunasehemu kama isimila ambako kuna miamba mizuri na mikubwa yenye kuvutia.






iringa isimila.






maporomoko ya maji kimani mkoani iringa. 






iringa mufindi kwenye misitu mikubwa ya mbao.






hii ni sehemu ambako segimba na mamayake na mkwawa walijitumbukiza wakati wa ukoloni.



Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal