Kaka wa Salman kupanda kizimbani Libya



Hashem Abedi


Haki miliki ya pichaLIBYA INTERIOL MINISTERY
Image captionHashem Abedi

Maafisa nchini Libya wamesema Hashem Abedi, kaka wa mshambuliaji wa bomu la kujitoa mhanga, lililouwa watu 22 katika mji wa Manchester, Uingereza atafikishwa mahakamani mjini Tripoli kwa kuhusika na shambulio hilo.
Hashem Abeid aliyekuwa na miaka 20 alikamatwa mjini Tripoli muda mfupi baada ya mlipuko huo wa Manchester.
Mkurugenzi wa upelelezi katika kesi hiyo nchini Libya, Sadiq Al Sour ameiambia BBC kwamba dalili zote zinaonesha mshtakiwa huyo ndiye aliyemsaidia mdogo wake Salman.
Baba yao ambaye pia alikamatwa, ameachiwa kutoka rumande.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA