PICHA 13: Rais wa Zanzibar alivyozindua Madarasa katika Skuli ya Msingi Kijitoupele.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Ali Mohamed Shein August 21, 2017 aliweka Jiwe la Msingi kuzindua madarasa matatu yaliyojengwa kwa Siku 11 chini ya Kampeni ya ‘Mimi na Wewe’ inayosimamiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Maghalibi Ayub Mohammed Mahmoud.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA