Kimbunga Irma chaingia ardhi ya Marekani

An overturned vehicle on a flooded street in Miami, Florida. Photo: 10 September 2017


Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionAn overturned vehicle on a flooded street in Miami

Kimbunga Irma kimepiga jimbo la Florida nchini Marekamani
Irma kwanza kabisa kilipiga kisiwa cha Marco magharibi mwa pwani mwa Florida, kikiwa na upepo wa kasi ya kilomita 192 kwa saa lakini tangu kwa sasa kimeshuka kutoka kiwango cha tatu hadi cha pili.

Palm trees in Bonita Springs north of Naples, FloridaHaki miliki ya pichaAFP

Zaidi ya nyumba milioni 3.4 katika jimbo la Florida hazina nguvu za umeme na sehemu za mji wa Miami zimefurika maji.
Vifo vitatu vinavyotokana na kimbunga hicho vimeripotiwa wakati Irma kikielekea sehemu za kaskazini.
Kituo cha vimbunga cha Marekani kinasema Irma kimesababisha upepo sehemu tofauti za katikati mwa Florida.

Boats at marina in MiamiHaki miliki ya pichaREUTERS

Mapema kimbunga hicho kilipiga maeneo yanayozunguka mji wa Fort Myers.
Irma tayari kimeharibu sehemu za Caribbean na kuya takriban watu 28.
Watu milioni 6.3 huko Florida wameambiwa wahame.

A vehicle passes downed palm trees in Miami, Florida. Photo: 10 September 2017Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionA vehicle passes downed palm trees in Miami
Storm surge map

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal