Serikali yakanusha ugonjwa wa Ebola kuwepo nchini


Serikali imekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii za kuwepo ugonjwa wa Ebola nchini zinazodai kuwa ugonjwa huo umeingia nchini kupitia nchi jirani ya Rwanda.

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal