Bangi yakamatwa bandari ya Mkoani

 Madawa ya Kulevya yanayosadikiwa kuwa ni Bangi  yaliokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba katika Bandari ya Mkoani Kisiwani humo  , na Abiria aliekuwemo katika Meli ya Azam 11, ikitokea Unguja hapo

jana.

 Madawa  ya kulevya yanayosadikiwa kuwa ni Bangi , ikimiminwa na Askari wa Jeshi la Polisi kwenye meza ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini ,Shekhan Moh'd Shekhan.

Mfuko ambao ulihifadhiwa Madawa hayo yanayosaidikiwa ni Bangi , ambayo yalikamatwa Mkoani Pemba , na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA