FIFA yataka mchezo kati ya Afrika Kusini na Senegal urudiwe

Mwamuzi Joseph Lamptey kutoka Ghana amefungiwa maisha kujihusisha na soka


Image captionMwamuzi Joseph Lamptey kutoka Ghana amefungiwa maisha kujihusisha na soka

Shirikisho la kandanda la Kimataifa FIFA, limeamuru mchezo kati ya Afrika Kusini na Senegal uliofanyika Novemba 12 urudiwe .
Uamuzi huo umetolewa baada ya mwamuzi wa mchezo huo Joseph Lamptey kuvurunda kimaamuzi katika mchezo huo, hivyo ameadhibiwa na Kamati ya nidhamu ya FIFA .

Mchezo huo uligubikwa na maamuzi kadhaa ya utata
Image captionMchezo huo uligubikwa na maamuzi kadhaa ya utata

Mchezo huo utarudiwa Novemba 2017 katika kalenda ya kimataifa, kwenye tarehe ambayo itatajwa.
Bafana Bafana waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba wa Teranga katika mchezo huo.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA