Nadal kulipwa $14000 kama fidia ya kuharibiwa jina

Rafael Nadal anashikilia namba moja kwa ubora duniani


Image captionRafael Nadal anashikilia namba moja kwa ubora duniani

Mahakama mjini Paris imemuamuru waziri wa michezo wa Ufaransa Roselyne Bachelot kumlipa mcheza tennis nyota Rafael Nadal kiasi cha dola za kimarekani 14,000 kutokana na kumtuhumu kutumia dawa zilizokataliwa michezoni.
Nadal alimfungulia mashitaka kwa kauli yake hiyo kwa kusema imemuharibia taswira yake kwa jamii.
Awali Nadal alitaka dola laki moja lakini kutokana na ushauri wa watu akaamua kupunguza.
Mchezaji huyo namba moja duniani amesema fedha hizo atazitumia kusaidia wasiojiweza nchini Ufaransa.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA