Ufaransa yaichapa Ubelgiji, yashinda kombe la Davis

Wachezaji wa Ufaransa wakishangilia ushindi


Image captionWachezaji wa Ufaransa wakishangilia ushindi

Ufaransa imefanikiwa kushinda kombe la Davis kwa mara ya kumi katika historia baada ya kuichapa Ubelgiji katika mchezo wa fainali.
Ufaransa walianza kwa ukali na kuongoza kabla ua Ubelgiji kusawazisha kupitia David Goffin lakini Ufaransa ikaongeza makali na kushinda kwa seti 7-6 (7-5) 6-3 6-2.
Ni michuano ambayo watu wengi walidhani Ubelgiji ingejizolea taji hilo kutokana na uonyesha kiwango safi kwa msimu huu.
Mara ya mwisho mwa Ufaransa kushinda taji hili ilikuwa mwaka 2001, na kwa ushindi huu umati mkubwa wa watu 27,000 walijitokea kushangilia kwa kila aina katika uwanja wa Lille.

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal