Tangazo la Uhuru kufuatia mauaji ya kinyama ya Msando lililowasha moto mitandaoni


Wananchi wamekasirishwa na Rais Uhuru Kenyatta baada ya kutoa taarifa kuhusiana na mauaji ya meneja wa habari, mawasiliano na teknolojia wa IEBC Chris Msando
-Uhuru aliomboleza kifo cha Msando na kile cha Carole Ngumbu, ambaye alikuwa na meneja huyo wakati wa kifo chake
Rais Uhuru Kenyatta ameshambuliwa na wananchi baada ya kuomboleza kifo cha meneja wa habari, mawasiliano na teknolojia wa IEBC Chris Msando na Carole Ngumbu, ambaye alikuwa na meneja huyo wakati wa kifo chake.
Uhuru aliandika kama ifuatavyo kwenye ukurasa wake wa tweeter,

We are all deeply shocked and saddened by the murder of Chris Msando and Caro Ngumbu.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA