Lewis Hamilton atwaa taji la nne la dunia

Hamilton anasema kazi yake ni kuendesha gari na ataipenda daima



Image captionHamilton anasema kazi yake ni kuendesha gari na ataipenda daima

Dereva Lewis Hamilton amefanikiwa kushinda taji la nne la dunia katika michuano ya Mexico grand prix licha ya kumaliza akiwa nafasi ya tisa baada kugongana na Sebastian Vettel.
Mafanikio ya Hamilton yanamfanya kuwa dereva wa Uingereza kufanikiwa zaidi katika historia akiwa amevunja rekodi ya Jackie Stewart.
Anaungana na Vettel na mfaransa Alain Prost wenye vikombe vinne.
Aligongana na Vettel wakati walipokuwa wakijaribu kupishana katika kona.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA