Jade Jones atwaa Medali ya Fedha- Taekwondo Grand Prix.

Jade Jones


Image captionJade Jones

Bingwa mara mbili wa Olimpiki kutoka Uingereza Jade Jones, amerejea katika ushindani baada ya kupata medali ya fedha kwenye mashindano ya mchezo wa Taekwondo Grand Prix nchini Morocco.
Jones, mwenye umri wa miaka 24, ameshinda kwa mara ya kwanza tangu ashinde medali ya shaba katika michuano ya Dunia mwezi Juni.
Nao Bianca Walkden na Mahama Cho walishinda dhahabu siku ya Ijumaa

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA

Alexander Lacazette Shujaa wa Arsenal