NATO imekiri shambulio la Marekani Kabul liliwadhuru raia

NATO imekiri kwamba shambulio la anga la majeshi ya Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Kabul


Image captionNATO imekiri kwamba shambulio la anga la majeshi ya Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Kabul

NATO imekiri kwamba shambulio la anga la majeshi ya Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Kabul, wakati wa ziara ya waziri wa ulinzi wa Marekani Jim Mattis ulisababisha madhara kwa raia.
NATO wanasema kuwa kombora lilishindwa kulipuka,jambo wanalosema lilisababisha usumbufu mkubwa kwa watu wasio wanajeshi.
Serikali ya Afghanistan inasema kuwa mtu mmoja alikufa na wengine saba kujeruhiwa.Shambulio hilo lilifanyika katika kuwakabili washambuliaji wa kujitoa muhanga waliokuwa katika uwanja wa ndege wakiwa wamevalia vifaa vya kujilipua.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA