Rick Ross amempost tena Diamond Platnumz


Ikiwa zimepita siku nane toka rapa maarufu wa Marekani Rick Ross ampost Staa wa Bongp Diamond Platnumz katika ukurasa wake wa Instagram  kwa mara ya kwanza akiwa amebeba chupa za kinywaji cha Belere ikiwa ni ishara ya kukinadi kinywaji hicho, usiku wa September 17 amempost tena.
Diamond ni balozi wa kinywaji hicho cha Belere na yeye amekua Staa wa pili kutoka Afrika kupostiwa na Rick Ross baada ya siku kadhaa zilizopita mwanadada kutoka nchini Kenya Huddah Monroe pia kupata bahati hiyo ya kupostiwa na Staa huyu wa Hollywood.

Rick Ross

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya Unga na ya maji

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande YA KUGANDISHA