Wakuu wa zamani wa riadha wakamatwa kwa rushwa

Papa Massata amesema tuhuma hizo ni sawa na fitina


Image captionPapa Massata amesema tuhuma hizo ni sawa na fitina

Mkuu wa zamani wa wa shirikisho la riadha ulimwenguni Lamine Diack na mwanae Papa Massata wamekamatwa nchini Brazil kwa tuhuma za rushwa.
Tiyari wanashutumiwa kwa tuhuma kama hizo nchini Ufaransa kwa kupokea dola milioni 2 kwa ajili ya kuufanya mji wa Rio kuwa muandaaji wa michuano ya Olimpiki mwaka uliopita.

Lamine Diack ameongoza shirikisho la riadha tokea mwaka 1999 mpaka 2015
Image captionLamine Diack ameongoza shirikisho la riadha tokea mwaka 1999 mpaka 2015

Lamin kwa sasa anashikiliwa nchini Ufaransa na tiyari amenyanganywa hati yake ya kusafiria huku Papa Massata akiwa amejificha nchini kwao Senegal.
Awali wawili hao walikana mashitaka ya kuhusika katika rushwa hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA