Dele Alli apigwa marufuku kwa kuonyesha ishara ya kidole cha kati

Dele Alli apigwa marufuku kwa kuonyesha ishara ya kidole cha kati


Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionDele Alli apigwa marufuku kwa kuonyesha ishara ya kidole cha kati

Kiungo wa kati wa Uingereza Dele Alli amepigwa marufuku kutoshiriki mechi moja ya kimataifa kufuatia hatua yake ya kuinua kidole cha kati wakati wa mechi ya kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Slovenia.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 atashiriki mechi dhidi ya Lithuania siku ya Jumapili.
Alli alisema kuwa ishara hiyo ilimlenga aliyekuwa mchezaji mwenza wa Spurs Kyle Walker wakati wa dakika ya 77 ya udhindi wa 2-1 katika kundi F.
Kisa hicho kilitokea baada ya Alli kupigwa kumbo na beki wa Slovakia Martin Skrtel huku refa Clement Turpin akionyesha ishara ya mchezo uendelee.
Ilionekana kana kwamba Alli alimuonyesha ishara hiyo ya kidole cha kati afisa huyo ambaye pia walirushiana maneno alipotolewa nje dakika ya 93.

Comments

Popular posts from this blog

GOR MAHIA MABINGWA WA SPORTPESA SUPER CUP 2017, SASA KUKIPIGA NA EVERTON JULAI 13

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi ya pamoja ya jeshi

UKWELI KUHUSU MZEE MAJUTO, NA TETESI ZA KUFA